Jiwe la Gevera katika kaunti ya Vihiga ni kivutuo kikubwa cha watalii kutoka dunia nzima
10th March, 2018
Jiwe la Gevera katika kaunti ya Vihiga ni kivutuo kikubwa cha watalii kutoka dunia nzima.Inadaiwa nyayo zilizoko kwenye jabali hilo ni za Yesu Kristo.Hutumiwa kama eneo takatifu kwa maombi na uponyaji.