.
10th March, 2018
Tunaanza taarifa zetu na maoni kuhusu tukio la kihistoria lililofanyika jana la maridhiano ya kisiasa kati ya rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa muungano wa upinzani nchini NASA Raila Odinga.Kiongozi wa ANC . Musalia Mudavadi amesisitiza kuwa yeye pamoja na vinara wengine wawili wa NASA Kalonzo Musyoka na Moses Wetangula hawakushirikishwa katika maamuzi yaliyotolewa hapo jana Kalonzo naye amewataka wafuasi wake kutofadhaika kuhusiana na yaliyotekea kati ya Raila na Uhuru