Kizaza chazuka baada ya watu wanodaiwa kuwa mapolisi kuzuia mwanabiasha Jimmy Wanjigi
28th February, 2018
Kizaza kilizuka katika barabara ya Museum kuelekea Westlands baada ya watu waliokisiwa kuwa maafisa wa polisi na waliojihami kumtaka kumkamata mfanyibiashara Jimmy Wanjigi