Aden Duale apata afueni baada ya mahakama kuu kuamua kwamba yeye ndiye mbunge halali wa Garissa
27th February, 2018
Kwenye kesi za uchaguzi ni kuwa kiongozi wa wengi kwenye bunge la taifa Aden Duale amepata afueni baada ya mahakama kuu mjini Nairobi kuamua kwamba yeye ndiye mbunge halali wa Garissa township.