.
26th February, 2018
Shughuli za biashara zilitatizika kutwa nzima katika barabara kuu ya Nairobi ? Nakuru baada ya waandamanaji kufunga barabara hiyo eneo la Limuru wakishinikiza hatua kuchukuliwa dhidi ya Gavana Charity Ngilu kufuatia marufuku yake ya biashara ya makaa. Msongamano mkubwa wa magari ulishuhudiwa katika eneo hilo huku waziri Ngilu naye akisimama kidete kuhusu msimamo wake.