22nd February, 2018
Kenya imesonga nafasi mbili mbele kwenye orodha ya kukisia viwango vya ufisadi ulimwenguni ya shirika la Transparency International. Sasa Kenya ipo kwenye nafasi ya 143 ikilinganishwa na 145 kati ya mataifa 180 mwaka 2016. Hatahivyo, mataifa ya rwanda, Botswana na ushelisheli bado yanang’aa sehemu hizi za dunia. Mark namaswa anaarifu zaidi