.
22nd February, 2018
Shule ya msingi ya Iftin kaunti ya Garissa imekuwa shule ya kwanza na ya pekee ya serikali kuweka kamera za siri ili kuhakikisha usalama wa waalimu. Haya yanajiri wiki moja watu watatu wakiwemo walimu wawili kuuwawa na wanamgambo wa Al Shabaab kaunti ya wajir. Hamza Yusuf anaarifu