.
22nd February, 2018
Kizaazaa kilishuhudiwa katika soko la kongowea mjini Mombasa mapema hii leo huku wafanyibiashara wakikadiria hasara baada ya maafisa wa halamashauri ya ujenzi wa barabara nchini kehna kubomoa vibanda vyao. wamejenga.hata hivyo Victor Ogalle anaarifu Zaidi kutoka Mombasa.