Wasiwasi wa usalama umetanda katika eneo la mlima Elgon baada ya watu 6 kuuawa
20th February, 2018
Wasiwasi wa usalama umetanda katika eneo la mlima Elgon, baada ya watu 6 kuuawa katika kijiji cha Sarai. Watu waliojihami kwa silaha hatari wanaripotiwa kutoweka na kichwa cha mmoja wa mzee wa nyumba kumi baada ya kumuua.