15th February, 2018
Maafisa wa kaunti ya Nakuru kwa ushirikiano na wenzao wa polisi wamewazuiliwa watu sita wakati wa msako dhidi ya watu waliokuwa wakiendesha biashara na leseni bandia. Maafisa hao walikuwa wakilenga wafanyibiashara wasiozingatia sheria na wenye magari ambao hawataki kulipa fedha za maegesho. Walikamatwa wanatarajiwa kufikishwa mahakamani.