14th February, 2018
Februari tarehe kumi na nne kila mwaka ni siku ya mahaba kote ulimwenguni na wapendanao hujizatiti kuoneshana upendo kwa njia spesheli. Wengi hutumia maua kama njia ya kuonesha upendo. Kwa wengine, siku ya valentine ni kama siku yoyote ile. Hebu tusikilize wasemavyo wakazi wa mji wa Nyeri.