×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakili Harun Ndubi ashtakiwa kwa kuendesha gari akiwa mlevi

12th February, 2018

Wakili Harun Ndubi  alishtakiwa kwa kuendesha gari akiwa mlevi. Ndubi ambaye alikamatwa jana usiku karibu na makao ya Ikulu, alifikishwa katika mahakama ya Milimani  na kusomewa mashtaka dhidi yake, ambapo polisi wanamshtaki kwa kutumia kileo na kisha kuendesha gari na kukataa kupuliza kifaa cha alco blow walipomtaka afanye hivyo.  Aliachaliwa kwa dhamana ya shilingi elfu thelathini.  Kesi hiyo itasikizwa Februari tarehe ishirini na tatu mwezi huu. 

.
RELATED VIDEOS