7th February, 2018
Zaidi ya mabalozi wanane kutoka mataifa mbalimbali wamezuru maeneo kame ya wafugaji hii leo kwa lengo la kuboresha maslahi ya watu wa maeneo hayo. Miongoni mwa maswala waliyozungumzia ni pamoja na usalama na hali ya chakula. Hamza Yusuf anaarifu.