7th February, 2018
Miguna miguna aligonga vichwa vya habari baada ya kutofautiana na aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga mwaka wa 2012 kwenye serikali mseto. Akajitokeza paruwanja na kuzindua kitabu chake tata cha peeling off the mask kilichomchana kinara huyo wa NASA. Hata hivyo baada ya kukikosa kiti cha ugavana wa Nairobi alichowania mwaka jana. Miguna afamikaye kwa kunena atakacho bila hofu alionekana kuegemea mrengo wa upinzani na hatimaye kujipata ndani ya kambi ya NASA. Miguna baadaye alijitangaza kuwa jenerali wa vuguvugu la NRM? Kenya. Huyu hapa mkuu wa kitengo cha kiswahili Paul Nabiswa akizichmbua hatua za Miguna hadi kufushwa kwake nchini hapo jana