.
30th January, 2018
Baada ya Raila Odinga kuapishwa katika bustani ya Uhuru wenyeji wa Kisumu walisherekea hatua hiyo .Wenyeji hao waliimba nyimbo na kusherehekea katika barabara za mji wa Kisumu. Kisumu ni moja ya kaunti ambazo hazikushiriki katika kura ya marudio ya kura za urais ya Oktoba 26. Aidha waliishutumu serikali kwa kuzima matangazo ya baadhi ya ruinga za humu nchini