.
29th January, 2018
Rais Uhuru Kenyatta hii leo amewasilisha bungeni majina tisa ya aliowateuwa kuwa mawaziri, pamoja na makatibu saba na mengine saba ya mabalozi teule ili kuanza kwa mchakato wa kuwapiga msasa bungeni. Haya yanajiri wakati mwanaharakati Okiya Omtata akiwasilisha kesi katika mahakama kuu kupinga kuundwa kwa ofisi mpya ya katibu msimamizi wa wizara. Wananchi wana siku saba kuwasilisha malalamishi yoyote bungeni dhidi ya maafisa wanaopigwa