.
28th January, 2018
Kazi yake ni kuwashughulikia watu wenye akili taahira katika
mji wa eldoret na viunga vyake. Judith Tanui huzunguka mji
huo kuwatafuta watu ambao aidha wameathirika na
mihadarati au hata kuwa taahira kwa sababu nyinginezo na
kuwapa stara. Judith amesimama kidete kuhakikisha kuwa
anachokifanya kinatimia licha ya changamoto na fitina
kutokana na kazi hii anayoifanya kama elvis kosgey
anavyotueleza kwenye makala ya leo ya Mwanamke
Ngangari