×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mazishi yafanyika mjini Kisumu ambapo watu watano wa familia moja walizikwa

28th January, 2018

Biwi la simanzi limetanda katika kijiji cha Kawese kaunti ya

        Kisumu west wakati wa mazishi ya jamaa watano wa familia

        moja waliofariki kwenye ajali katika eneo la salgaa kwenye

        barabara ya nakuru – Eldoret.Martin Odol na

        wanawe wanne walifariki mkesha wa mwaka mpya baada ya

        kuhusika kwenye ajali hiyo ambayo pia ilisababisha maafa ya

        jumla ya watu 36. Na hii leo, wakaazi wamefika kwenye boma

        la familia hiyo kuwapa mkono wa buriani . Kwa mujibu wa

        familia hiyo mazishi haya yalicheleweshwa ili kutoa nafasi

        kwa mkewe odol aliyekuwa hospitalini kupata nafuu ili

        kuweza kushiriki mazishi hayo

.
RELATED VIDEOS