.
28th January, 2018
Hisia zimeendelea kutolewa kufuatia uteuzi wa
watakaohudumu kwenye baraza la mawaziri la serikali ya
jubilee muhula huu. George Maringa anatupa misimamo na
hisia za baadhi ya vyama , wanasiasa na hata wakaazi katika
maeneo mbalimbali