×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Haki za Binadamu:Wanaharakati watuzwa kwa juhudi zao

27th January, 2018

Wakenya kadhaa jana walitunukiwa kutokana na rekodi zao za kupigania haki za binadamu katika nyanja mbalimbali.hafla hiyo iliandaliwa katika Ubalozi wa Uholanzi nchini Kenya na dhamira kuu ilikuwa kuwatuza mashujaa wa kupigania haki katika jamii. Waliokuwa katika jopo wanajumuisha aliyekuwa jaji mkuu dkt. Willy mutunga miongoni mwa wanaharakati wengine

.
RELATED VIDEOS