Mabingwa mara 11 wa ligi kuu ya soka nchini Tusker wamezindua wachezaji 11 wapya
23rd January, 2018
Mabingwa mara 11 wa ligi kuu ya soka nchini Tusker wamezindua wachezaji 11 wapya wanapojiandaa kwa msimu mpya, Tusker ambao walishnda taji la KPL mwaka 2016 walimaliza katika nafasi ya sita msimu uliopita.