.
23rd January, 2018
Mara nyingi wakenya hujipata katika hali ya kutafuta kazi, na mara nyingi zoezi hili la kutafuta ajira sio jambo rahisi. Ni zoezi ambalo linazidi kuwa zito zaidi kwa wakenya, hasaa kwa wale wasio na uwezo wa kifedha. Baadhi ya wakenya wanaotafuta ajira kufuatilia safari yao ambayo sasa hugharimu malefu ya pesa kutokana na stakabadhi zinazohitajika