×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Waruka parachuti wawili wafariki Kerio

23rd January, 2018

Mchezo wa kuvivinjari umegeuka karaha katika mabonde ya Kerio baada ya waruka parachuti wawili – raia wa kigeni kuanguka na kufariki papo hapo. Watalii hao ambao ni mkufunzi na mwanafunzi walikuwa wakiruka kwenye parachuki moja kabla ya kupoteza uthibiti na kuanguka kwenye bonde. Tukio hili limejiri majuma mawili baada ya raia mwingine wa kigeni kufariki katika bonde hilo. Mkuu wa polisi Keiyo North mwenda meme amesema wanachunguza chanzo cha ajali hiyo. 

.
RELATED VIDEOS