.
23rd January, 2018
Chama cha Jubilee hatimaye kimewatimua wabunge wanne kwenye usimamizi wa kamati za bunge katika bunge la taifa. Wanachama wa kamati zao waliafikia kuunga mkono hoja ya kutokuwa na imani na wabunge hao Alfred Keter, Silas Tiren, Kangogo Bowen na James Gakuya