×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanawake wateta usawa wa kijinsia kuhusu uteuzi wa mawaziri

22nd January, 2018

Wanawake kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali leo wameafanya maandamano wakitoa shinikizo kwa Rais Uhuru Kenyatta kuwateua mawaziri tisa wa kike kwa lengo la kuafikia usawa wa kijinsia nchini.Wanawake hao wanasema kuwa wakati umefika kwa serikali kuzingatia kuafikiwa kwa thuluthi mbili ya jinsia kama inavyohitajika kikatiba. 

.
RELATED VIDEOS