.
22nd January, 2018
Mzozo umeendelea kutokota kuhusu usimamizi wa kamati za bunge huku hoja hiyo ikitarajiwa kujadiliwa. Hata hivyo upande wa upinzani umekariri kuwa hautahudhuria kikao hicho wakati wabunge wakiendelea kumlaumu rais kenyatta kwa kuchangia mtafaruku huu