.
20th January, 2018
Wanamuziki wa kale na wa sasa walihudhuria mazishi ya
mwenzao Gabriel Omollo iliyofanyika kwake katika kijiji cha
Nyabeda, Kaunti ya Siaya.Omolo ambaye alianza
kunawiri kimuziki katika miaka ya sitini na kutambulika sana
kwa wimbo wa lunch time, aliaga dunia mapema mwenzi huu
akipata matibabu katika hospitali ya rufaa ya
Busia. Wanamuziki wakongwe waliuelekea kidole cha lawama
serikali kwa kukosa kuzingatia hali ya wanamuziki wakiwa
wazima