.
20th January, 2018
Vyuo vikuu na ofisi za umma nchini Tanzania zina muongozo
maalumu wa mavazi unaozingatiwa na watanzania wote na
pia wageni wanaohitaji huduma katika ofisi hizo za umma,
hivyo unapozuru ofisi za umma za nchi hiyo ni sharti
kuzingatia muongozo huo kama anavyoarifu rajabu hassan
akiwa Dar es salaam nchini Tanzania.