.
17th January, 2018
Mwanaharakati wa haki za binaadam mjini Eldoret Ken Wafula amefariki dunia mapema leo. Wafula anafahamika sana kwenye harakati zake kuhusu mashahidi wakati wa kesi za Kenya zilipokuwa zikiendelea katika mahakama ya jinai ya ICC mjini the Hague. Elvis Kosgei na maelezo zaidi.