17th January, 2018
Ombi la kutaka ukeketaji uhalalishwe limewasilishwa kwa mara ya pili mbele ya mahakama kuu ya Machakos. Daktari tatu kamau anashikilia kuwa tamaduni hiyo ni chaguo la mtu mzima wa kike kama ilivyo tohara kwa wanaume. Ni kesi ambayo imeibua mdahalo mkali nchini, hasaa ikizingatiwa kuwa imewasilishwa na mtaalamu wa matibabu. Mark Namaswa anatuarifu zaidi