.
16th January, 2018
Muungano wa NASA umesisitiza kuwa hafla ya kuwaapisha Raila Odinga na Kalonzo Musyoka bado ingalipo mwisho wa mwezi huu licha ya tetesi kutoka kwa baadhi ya wandani wa muungano huo kwamba baadhi ya vinara hawako radhi kuendelea na shughuli hiyo.