.
16th January, 2018
Familia ya kijana wa miaka kumi na tisa kaunti ya Kisumu inalilia haki ikihofia mwana wao aliyepooza kufuatia jeraha la risasi alilopata wakati wa makabiliano kati ya polisi na wakazi wa Nyalenda wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Chrispine Ochieng, mwanafunzi wa kidato cha nne alipigwa risasi wakati huo, na sasa amesalia na risasi kwenye paja lake la kushoto