14th January, 2018
Miaka minne tangu runinga ya ktn kuangazia kisa cha Samuel
Yatich ? mwanamume kutoka Kaunti ya Elgeyo Marakwet
mwenye uwezo wa kunakili nambari na hata kuzijua nambari
zote za usajili ya magari, miaka baadaye, Elvis Kosgey
anatueleza hali ya Yatich baada ya kutumika kunasa magari
yanayofanya uhalifu.