13th January, 2018
Kina mama wabunge wameeleza imani ya sheria kuhusu jinsia
kutekelezwa pasi na kupitia kortini. Haya yamebainika
kwenye mkutano wao naivasha. Na huku nairobi, viongozi wa
maendeleo chap chap wamedai serikali ya jubilee inapaswa
kurudisha mkono kwa kuteua wanachama wa chap chap
katika nafasi za serikali kuu na za kaunti huku katibu mkuu
wa vyama vya wafanyikazi nchini francis atwoli
akimuonya rais uhuru kenyatta dhidi ya kuegemea watu
kutoka jamii fulani katika uteuzi wake.