×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana Alfred Mutua amamurisha Rais Uhuru Kenyatta kuhusishwa kwa serikali ya Jubilee

13th January, 2018

Kina mama wabunge wameeleza imani ya sheria kuhusu jinsia

        kutekelezwa pasi na kupitia kortini. Haya yamebainika

        kwenye mkutano wao naivasha. Na huku nairobi, viongozi wa

        maendeleo chap chap wamedai serikali ya jubilee inapaswa

        kurudisha mkono kwa kuteua wanachama wa chap chap

        katika nafasi za serikali kuu na za kaunti huku katibu mkuu

        wa vyama vya wafanyikazi nchini francis atwoli

         akimuonya rais uhuru kenyatta dhidi ya kuegemea watu

        kutoka jamii fulani katika uteuzi wake.

.
RELATED VIDEOS