×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mtu mmoja auawa na polisi wanne kujeruhiwa baada ya Al shabaab kuwashambulia Lamu

13th January, 2018

Mtu  mmoja amefariki huku maafisa wa polisi wanne wakijeruhi

        baada ya wapiganaji wa alshabaab kushambulia msafara wa

        mabasi uliokuwa ukielekea malindi na mombasa majira ya saa

        tano hii leo. Kwa mujibu wa taarifa ya serikali kulikuwa

        na  makabiliano makali kati ya vikosi vya usalama vilivyokuwa

        vikisindikiza mabasi hayo na wapiganaji hao. Wapiganaji hao

        waliteketeza moto baadhi ya magari ya maafisa wa usalama.

         seneta wa lamu anwar olei?tiptip amezungumzia kisa hicho

        na kuvitaka vikosi vya usalama kuwa macho zaidi

.
RELATED VIDEOS