.
13th January, 2018
Kamati za usalama eneo la marakwet na pokot,
zimepewa makataa ya siku saba ya kufanya msako wa
kurejesha mifugo walioibwa na wavamizi juma lililopita.
Wakazi waliotoroka makwao kwa hofu ya usalama wao
wakiombwa kurejea makwao.elvis kosgei na maelezo zaidi
kuhusu mkutano uliofanyika kuziba nyufa za vita vya mara
kwa mara katika bonde la kerio