×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shule kadhaa zafungwa maeneo ya Kerio kutokana na ukosefu wa usalama

13th January, 2018

Kamati za usalama eneo la marakwet  na pokot,

           zimepewa makataa ya siku saba ya kufanya msako wa

           kurejesha mifugo walioibwa na wavamizi juma lililopita.

           Wakazi waliotoroka makwao kwa hofu ya usalama wao

           wakiombwa kurejea makwao.elvis kosgei na maelezo zaidi

           kuhusu mkutano uliofanyika kuziba nyufa za vita vya mara

           kwa mara katika bonde la kerio

.
RELATED VIDEOS