.
10th January, 2018
Raia 9 wanaoaminika kutoka taifa la Pakistan wamekamatwa na maafisa wa polisi jijini Mombasa kulingana na kamanda wa polisi kaunti ya Mombasa Jonstone Ipara tisa hao wamekuwa nchini kwa zaidi ya mwaka moja na wamekuwa wakiendeleza biashara ya kuuza vyakula mbalimbali kinyume cha sheria.