×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ubunifu mpya kuhusu teknolojia ya mifugo

10th January, 2018

Jamii za wafugaji nchini zina kila sababu ya kutabasamu kufuatia ubunifu mpya utakao sajili na kuweka rekodi ya mifugo wao kwenye mitambo. Mfumo huu ambao unaongozwa na muungano wa madakatari wa mifugo nchini Kenya, unahusisha kuwaweka mifugo hawa vibano kwenye masikio, vibano vyenye nambari na ambavyo vinaweza kutambulika kwa njia ya electroniki. 

.
RELATED VIDEOS