.
28th December, 2017
Ni rasmi kwamba uvutaji wa mseto wa tumbaku uliotiwa ladha na viungo vingine almaarufu shisha imeharamishwa nchini. Wakenya wamepokea habari hizi kwa hisia mseto baada ya nakala ya sheria mpya inayofanya marufuku uvutaji wa shisha kuzagaa kwenye mitandao ya kijamii. Mark Namaswa ana maelezo kamili.