×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kinara wa Wiper-Kalonzo Musyoka asisitisha kuwa Rais Uhuru Kenyatta anapaswa kuongoza mazungumzo

28th December, 2017

Kinara wa NASA na kiongozi wa chama cha Wiper  kalonzo musyoka amesema kuwa ni jukumu la rais Uhuru Kenyatta kuongoza mazungumzo ya kuleta maelewano kati ya serikali na upinzani, la sivyo viongozi wa NASA wataapishwa katika mojawapo ya harakati za kupigania haki yao.  Kalonzo alikuwa kwenye hafla ya kuifariji familia ya aliyekuwa mbunge wa kitui magharibi Francis Nyenze. Kalonzo amesisitiza kuwa yeye pamoja na kinara wa NASA Raila Odinga waliibuka washindi kwenye uchaguzi wa Agosti nane na kuwa walipokonywa ushindi.aidha magavana Charity Ngilu na Kivutha Kibwana walimpigia debe Kalonzo kwa kusema tiketi ya uwaniaji urais mwaka 2022 ni yake kwani hata mkataba uliotiwa saini baina yake na Raila Odinga unaeleza bayana.

.
RELATED VIDEOS