×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Viongozi wanne kutoka chama cha Jubilee wapata afueni baada ya mahakama kutoa amri kuwahusu

27th December, 2017

Viongozi wanne wa Jubilee akiwemo mbunge wa nandi hills Alfred Keter sasa wamepata afueni kwenye utata uliosababisha kufurushwa kwao kwenye kamati za bunge baada ya kukaidi msimamo wa chama cha jubilee. Keter pamoja na wabunge Silas Tiren, James Gakuya na Kangogo Bowen wamemshtaki kiongozi wa wengi aden duale, spika wa bunge justin muturi na kiranja wa wengi benjamin washiali kuhusiana na hatua hiyo wanayosema imekiuka haki zao. 

.
RELATED VIDEOS