.
26th December, 2017
Kizaazaa kimeshuhudiwa huko vihiga, wakati waziri wa maji Eugene Wamalwa alipotimuliwa kwenye hafla ya kusheherekea tamaduni ya jamii ya Maragoli. Wakaazi waliokuwa na ghadhabu walimzomea baadhi yao wakipiga mawe gari lake na kuwalazimu walinzi wake kufyatua risasi hewani kutoa fursa kwa dereva wake kutoroka ghadhabu za wakaazi hao. Geff Kirui za maelezo zaidi