8th December, 2016
Madaktari 290 wenye mkataba wa kandarasi hospitali kuu ya Kenyatta wametangaza kuondoa huduma zao hospitalini humo huku mgomo wa madaktari ukiingia siku ya siku ya nne baada ya serikali ya Jubilee kushindwa kuukwamua. Haya yakijiri, waziri wa afya Cleopa Mailu aliendelea na mbinu za kuwabembeleza wauguzi hao hadi jioni hii bila mafanikio. Mark Namaswa na taarifa.