.
1st December, 2016
Shule ya msingi ya Moi Kabarak imekuwa miongoni mwa shule zilizoandikisha matokeo bora katika kaunti ya Nakuru. Shule hiyo ilikuwa na alama wastani ya 389. Katika matokeo ya mwaka huu . Mwanafunzi bora Mike Muchiriri alipata alama 429. Mwanahabari wetu Victor Ogalle anatuarifu mengi kutoka kaunti ya Nakuru.