.
28th November, 2016
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wamepuzilia bali madai kuwa wapiga kura katika eneo la mlima Kenya watasusia kupiga kura mwaka ujao kutokana na jinsi rais hajakuwa akizuru eneo hilo. Viongozi hao ambao walianzisha ziara ya siku mbili katika eneo hilo walijitetea kwa kusema kuwa madai hayo yanaenezwa na wapinzani wao. Chris Thairu anaarifu kuhusu ziara ya kisiasa wakuu wa nchi