.
27th November, 2016
Sakata ya kupotea kwa mamilioni ya fedha katika kaunti ya Kilifi ikizidi kurindima, Gavana Amason Jeffa Kingi sasa anatarajiwa kufika mbele ya tume ya kupambana na ufisadi nchini kuelezea anayoyajua kuhusiana na ufujaji huo wa fedha. Kingi atakuwa mgeni wa tume hiyo hapo kesho siku chache tu baada ya kushtaki kampuni zilizotajwa katika sakata hiyo pamoja na wakurugenzi wake. Francis ontwoma anaarifu