.
26th November, 2016
Ni rasmi kuwa mbunge wa kigumo JAmleck Kamau yumo katika kinyang’anyiro cha ugavana baada ya kuzindua azma yake huko murang’a. Hafla hiyo iliwavutia wanasiasa kutoka mbali na karibu wa Jubilee akiwemo kiongozi wa walio wengi katika bunge la kitaifa Adan Duale. Cha ajabu ni kuwa naibu gavana wa Murang’a ndiye aliyekuwa kiongoziw a shughuli hiyo.