KTN Leo: Mahindi yalionunuliwa na serikali ya msaada kwa walioathiriwa na kianganzi yaharibika
17th November, 2016
Zaidi ya magunia 800 ya mahindi yaliyonunuliwa na serikali ya kaunti ya Samburu kama chakula cha msaada kwa waathiriwa wa baa la njaa katika sehemu hiyo, yamebainika kuwa si salama kuliwa.