.
15th November, 2016
Mtazamaji tunafungua taarifa na habari za mitihani ya KCSE ambapo wasimamizi wa mitihani hiyo katika shule ya sekondari ya St. Charles Lwanga Gesero huko Kisii, wamesimamishwa mara moja na hawataendelea na kazi hiyo. Hii ni kutokana na mkanganyiko walioufanya asubuhi ya leo walipofungua karatasi iliyopaswa kufanywa alasiri.