.
14th November, 2016
Je hatua ya viongozi wa chama cha ODM kusisitiza kuwa Kalonzo Musyoka ndiye anayefaa kupeperusha bendera ya CORD katika uchaguzi mkuu ujao inatakiwa kufasiriwa vipi? Je wamemsahau kinara wa ODM Raila Odinga ama walifanya hivyo kumfurahisha kalonzo aliyekuwa maeneo ya Voi na Oloitotok? Mwanhabari Paul Nabiswa anaarifu kwa kina kuhusu safari ya CORD